Matthew 22:9-10

9 aKwa hiyo nendeni katika njia panda mkamwalike karamuni yeyote mtakayemwona.’ 10 bWale watumishi wakaenda barabarani, wakawakusanya watu wote waliowaona, wema na wabaya. Ukumbi wa arusi ukajaa wageni.

Copyright information for SwhKC